Rais aendesha Kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha Baraza la Mawaziri ukumbi wa TAMISEMI mjini Dodoma

Rais akutana na Naibu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bw. Johhnie Carlson na Ujumbe wake walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo January 9, 2012

Rais akutana na Naibu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bw. Johhnie Carlson na Ujumbe wake pamoja na waziri wa Nishati na Madini Mh Williuam Ngeleja walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo January 9, 2012

Harambee ya kuchangia UDSM

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mweyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya TANAPA Bwana Modestus Lilungulu baada ya kukabidhi hundi ya thamani ya tsh.150m/- ikiwa ni mchango wa Shirika hilo kwa ajili ya kujenga kituo cha wanafunzi katika chuo kikuu cha Dar es Salaam katika ukumbi wa Mlimani City .kulia ni makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Seif Shariff Hamad

News roundup

More news

Speeches

  • Dar es Salaam,30 March 2012

    Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, katika Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari 2011, Diamond Jubilee, Dar es Salaam tarehe 30 Machi, 2012.

  • Dar es Salaam,11 November 2011

    Closing Statement by H.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic Of Tanzania at the CAADP Post–Compact Business Meeting held at the Blue Pearl Hotel, Dar es Salaam, 11th November, 2011.

  • Dar es Salaam,20 October 2011

    Speech delivered by H.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, at the climax of the University of Dar es Salaam 50th Anniversary Ceremony held at the Nkrumah Hall on 20th October, 2011.

More Speech

President Activities